Social Icons

Saturday 4 June 2016

DANI ALVES aandika Ujumbe wa Kuwaaga Mashabiki wa Barcelona ,Usome Hapa Ujumbe Huo

Beki wa kulia wa Barcelona Dani Alves, ameitumikia klabu hiyo kwa takriban miaka nane na sasa anaondoka  rasmi msimu huu na anatarajia kujiunga na miamba ya Serie A Juventus kwa mkataba wa miaka miwili.
Barcelona ace Dani Alves will wave goodbye to the Catalan giants this summer after eight years at the club

Bondia Machachari wa Marekani Muhammad Ali Afariki Dunia Akiwa na Miaka 74

Boxer mahiri wa zamani wa uzito wa juu ulimwenguni Muhammad Ali amefariki dunia huko katika hospitali ya Phoenix iliyopo jimbo la Arizona nchini Marekani.Ali received the Presidential Medal of Freedom from George W Bush at the White House in 2005