Social Icons

Thursday 11 December 2014

Diamond kashinda Channel O, Idris BBA, huyu mwingine kaipa Tanzania headlines hizi nzuri saa kadhaa zilizopita.


Jana December 10 2014 Watanzania walimpokea kwa shangwe mwakilishi wao kwenye BBAHotshots Afrika Kusini, Idris ambae ndie alitangazwa mshindi wa dola za kimarekani laki tatu siku kadhaa tu baada ya Diamond kuing’arisha Tanzania kwa kushinda tuzo 3 za Channel O.

Tazama jinsi Nyota wa NBA LeBron James avunja kanuni za kifalme


Mchezaji wa mpira wa vikapu LeBron James alivunja protokali au kuvunja kanuni za maadili ya kifalme alipomshika mabegani Kate Middleton akiwa na majasho kwenye jezi lake huku mumewe Kate, Prince William akifanya mzaha kuhusu ukubwa wa mguu wa mchezaji huyo huku wote wakiangua kicheko.