
Ni
mechi ambayo inaingia kwenye kumbukumbu za Watanzania wanaozifatilia
hizi timu mbili sana ambapo mpaka kipindi cha kwanza kinaisha Yanga
ilikua inaongoza kwa kuwa na magoli matatu huku Simba ikiwa haina hata
moja ila kwenye kipindi cha pili Simba wakarudisha magoli yote aisee.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Ngassa kwenye dakika ya 15 na mengine
mawili yamefungwa na Kiiza dakika ya 35 na 45 ambapo magoli ya Simba
yamefungwa na Mwombeki dakika ya 54, Owino 57 na Kaze 83.

Hii ilikua wakati wa Half Time.

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha Simba

Kikosi cha Simba
No comments:
Post a Comment