Social Icons

Featured Posts

Sunday 17 July 2016

Reyard Mahrez Kutimkia Barcelona




Saturday 4 June 2016

DANI ALVES aandika Ujumbe wa Kuwaaga Mashabiki wa Barcelona ,Usome Hapa Ujumbe Huo

Beki wa kulia wa Barcelona Dani Alves, ameitumikia klabu hiyo kwa takriban miaka nane na sasa anaondoka  rasmi msimu huu na anatarajia kujiunga na miamba ya Serie A Juventus kwa mkataba wa miaka miwili.
Barcelona ace Dani Alves will wave goodbye to the Catalan giants this summer after eight years at the club

Bondia Machachari wa Marekani Muhammad Ali Afariki Dunia Akiwa na Miaka 74

Boxer mahiri wa zamani wa uzito wa juu ulimwenguni Muhammad Ali amefariki dunia huko katika hospitali ya Phoenix iliyopo jimbo la Arizona nchini Marekani.Ali received the Presidential Medal of Freedom from George W Bush at the White House in 2005

Tuesday 19 April 2016

Yanga Inaweza Kuiondoa Al Ahly Leo Katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika


Mabingwa wa Tanzania bara na wawakilishi pekee wa Tanzania waliosalia katika michuano ya CAF, timu ya Yanga SC chini ya mkufunzi, Hans Van der Pluijm siku ya leo Jumatano itashuka uwanjani kuwakabili mabingwa mara nyingi zaidi wa Ligi ya mabingwa Afrika, timu ya Al Ahly ya Misri huko jijini Alexandria.

Idadi ya Vifo Vya Raia Yaongezeka Nchini Ecuador Kulikotokea Tetemeko la Ardhi



Serikali nchini Ecuador inasema kuwa idadi ya watu waliouawa kwenye tetemeko kubwa la ardhi la siku ya Jumamosi, imeongezeka hadi zaidi ya watu 500.

Tazama Hapa Full Time Ya Azam Fc v Esperance Huko Tunisis


TAARIFA HIZI KUTOKA Tunisia Zinasema  Esperance 3-0 Azam Fc (Aggregate ; Esperance 4-2 Azam Fc ), Kwa Matokeo hayo Azam Fc Imeondolewa Katika Mashindano Ya #CufComfidarationCup2016

Wednesday 20 January 2016

Watazame Cassie, Brandy, & French Montana Kwenye Filamu Ya ‘The Perfect Match’( Trailer Hii Hapa )



Mwanamuziki Cassie  Amerejea tena kwenye screen yako, Mwimbaji huyo wa Hit Single “Me & U”, ambaye alihusika pia kwenye Step Up 2: The Streets, pamoja na Terrence J kwenye romantic comedy inayoitwa The Perfect Match.

New Music ; Meek Mill – Problem Ft Tdot illdude



Sikiliza New Single Kutoka Kwa Meek Mill an aggressive new song dundo linaitwa “Problem” Ft Tdot Illdude.

Tuesday 19 January 2016

New Video: Rich the Kid feat. Wiz Khalifa – ‘Dab Fever’




Everyone from 2 Chainz to Hillary Clinton has caught dab fever. Now Rich the Kid pays tribute to the phenomenon he and Migos helped start in the video for “Dab Fever” featuring Wiz Khalifa. 

New Video: Tyga – ‘I $mile, I Cry’ Itazame Hapa




Fresh off the release of his latest mixtape Rawwest Nigga Alive, Tyga ameachia Video ya Wimbo Wake binafsi  ambo ni Project Unaoitwa “I $mile, I Cry.” wimbo huo Unahusu sana ishu za   family .

New Music: Tinashe feat. Juicy J – ‘Energy’ ( EnjoyGoodMusic )




Akia anaandaa Album yake Ya  Joyride, Tinashe ameungana na Rapper  Juicy J na kufanya Colable Ya Maana Single inaitwa  “Energy.” Ngoma Kali sana amejaribu Kubembeleza Sana

Rick Ross Amjibu Birdman Amwambia Aje Kama Anauwezo ni Baada Ya Birdman Kusema Atamuibukia Rozay




Wakati Meek Mill ana beef na 50 Cent, bosi wa Maybach Music Rick Ross anaendeleza beef yake na boss wa Cash Money records ‘Birdman’.

Tetesi Za Usajili Ulaya Jan 19 , Van Gaal Out , Lukaku , Ighalo , Tiote , Berahino Wanaelekea Huku



Kocha wa Mashetani wekundu wa Jiji la Manchester ,Manchester United Louis Van Gaal Mkataba wake unamalizika mwaka 2017 lakini inaonekana kuwa hataweza kuumaliza mkataba huo akiwa ndani ya United na Sio Chaguo sahihi la Red Devils.

Nadal Atupwa Nje Michuano ya Australian Open Raundi Ya Kwanza


Rafael Nadal ameondolewa kwenye raundi ya kwanza katika shindano la tenisi la Australian Open baada ya kushindwa seti tano na Fernando Verdasco.

Dreams Come True , Meek Mill Kabla Yakuwa Staa Kwanza Aliyafanya Haya



Rapa Meek Mill alilelewa na mama yake baada ya kifo cha baba yake akiwa na miaka 5, baba yake Meek Mill aliuwawa ni majabazi waliovamia kwa silaha.