Social Icons

Saturday 30 August 2014

New Music | Kipaji Cha Ajabu Katika Muziki Bongo | G the Gunner | For Ma People


Muziki umekuwa na ushindani mkubwa sana hivi sasa na kila kukicha vipaji huzaliwa tumeona marekani kunavipaji vilivyofanya vizuri sana katika musiki mfano Kendrick Lamar na wengine Wengi Hapa Bongo Pia kunawatu kama Young Killer na Wengine Wengi

Tazama Hapa Ratiba Ligi kuu England ( EPL ) Wikiendi Hii


Burudani ya Mechi za Wikiendi ni kuwashuhudia Washambuliaji watatu 3 Walio Sajiliwa kwa Kishindo katika ligi hiyo ...Angel Di Maria- Manchester United, Mario Balotelli- Liverpool na Samuel Etoo- Everton...Je??? Etoo kuwachachafya Chelsea ....Wakati Huo huo Straika wa Chelsea Diego Costa huenda Atakuwa nje ya Uwanja kwa Muda wa Wiki Nne 4.

Torres amua kuondoka Chelsea – Atua Rasmi Ac Millan

Fernando Torres amemaliza kipindi kigumu kabisa cha miaka mitatu na nusu kwenye maisha yake ndani ya klabu ya Chelsea baada ya kukubali kuondoka katika timu hiyo.

Ivory Coast kususia mechi Dhidi ya Sierra Lion AFCON


Shirikisho la soka la Ivory Coast limesema kuwa huenda likasusia mechi ya kufuzu kwa dimba la mabingwa barani Afrika dhidi ya wapinzani wao Sierra Leone ikihofia kuenea kwa Ebola.

Bayern yamsajili Kiungo Wa Real Madrid Xavi Alonso


Kiungo wa Uhispania Xabi Alonso ameafikiana mkataba wa miaka miwili na klabu ya ujerumani Bayern Munich .Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 32 amekubali kuondoka Real Madrid katika misimu mwili ijayo.