Social Icons

Friday, 3 October 2014

Muendelezo wa ligi Mbalimbali barani ulaya Tazama hapa ratiba za Ligi Hiyo



Muendelezo wa ligi Mbalimbali unaendelea wikiendi hii katika viwanja vya ligi mbalimbali barani ulaya Tazama hapa ratiba za Ligi Hiyo

Viongozi Wa China Wasema Maandamano Ya Hong Kong Yataambulia Patupu

Viongozi wa Uchina wanasema kuwa maandamano ya kupigania haki ya kuimarisha demokrasia katika eneo la Hong Kong yataambulia patupu.Taariri yenye matamshi makali katika Gazeti la Kikomunisti ilikariri kuwa Serikali inaendelea kumuunga mkono Mkuu wa eneo la Hong Kong, CY Leung.

Hamisi Tambwe Guda Guda Kuivaa Stand United na Si Majeruhi Kama Ilivyoarifiwa Awali


Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Timu ya Simba Hamisi Tambwe leo hasubuhi amefanya mazoezi kwa asilimia 100 na kuondoa uvumi uliokua umemuhusisha kukosa mechi ya kesho dhidi ya stand united

Messi matatani kwa kukwepa kodi Apelekwa Kizimbani ,,,Tazama Hapa

Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kodi,hii ni kwa mujibu wa jaji mmoja wa Uhispania.

Tazama Hapa Picha za programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9 Iliyozinduliwa na Kampuni ya Microsoft


Kampuni ya Microsoft imezindua programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9.Kampuni hiyo pia inatarajia wateja wake watarudi kwani wengi walikuwa wakisitasita kuboresha oparesheni zao tangu Windows 8.

Ndoa Yavunjika Kutokana na Tofauti za Kidini Nchini India..Story Kamili Ipo Hapa


Maafisa wa polisi katikati mwa India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu baada ya shinikizo kutoka kwa makundi ya kihindu yenye mrengo wa kulia.

DUNIANI | Tazama Picha ya Kiti Kinacho Punguza Upweke Hapa


Kuna wakati kila mmoja maishani pengine huhitaji kupata 'hug' (kukumbatiwa) ili kujisikia sio mpweke. Sasa kampuni moja nchini Japan imetengeneza kiti maalum ambacho kitakuwa tayari wakati wowote kumkumbatia na kumliwaza mtumiaji.

Thursday, 2 October 2014

Maajabu ya Dunia | Tazama hapa Sokwe wabunifu Waanzisha Tabia Mpya Mwituni


Watafiti wamegundua kifaa kipya kinachotumiwa na idadi kubwa ya Sokwe ,Wanasema kuwa kifaa hicho ni ishara tosha kwamba Sokwe wa mwituni wameanzisha tabia mpya.

Kiongozi Wa Boko Haram Atoa Tamko na Akana Kufa Asema 'Sijafa' | Story Yote Hapa



Kanda ya video inayomuonyesha mtu anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi la Boko Haram imetolewa akikana madai ya jeshi kwamba amefariki.Katika kanda hiyo,Abubakr Shekau anasema kuwa wapiganaji wake waliitungua ndege ya wanajeshi wa angani iliotoweka wiki tatu zilizopita.

UEFA | Wenger: Welbeck ana kasi ya umeme | Tazama hapa Video ya jinsi alivyofunga magoli 3 Kama hukuona


Mkufunzi wa kilabu ya Arsenal nchini Uingereza Arsene Wenger amemtaja mshambuliaji wake Danny Welbeck kama mchezaji mwenye kasi ya 'umeme' baada ya kuifungia timu ya Arsenal mabao matatu siku ya jumatano katika mechi ya kilabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Galatasaray.

Saturday, 30 August 2014

New Music | Kipaji Cha Ajabu Katika Muziki Bongo | G the Gunner | For Ma People


Muziki umekuwa na ushindani mkubwa sana hivi sasa na kila kukicha vipaji huzaliwa tumeona marekani kunavipaji vilivyofanya vizuri sana katika musiki mfano Kendrick Lamar na wengine Wengi Hapa Bongo Pia kunawatu kama Young Killer na Wengine Wengi

Tazama Hapa Ratiba Ligi kuu England ( EPL ) Wikiendi Hii


Burudani ya Mechi za Wikiendi ni kuwashuhudia Washambuliaji watatu 3 Walio Sajiliwa kwa Kishindo katika ligi hiyo ...Angel Di Maria- Manchester United, Mario Balotelli- Liverpool na Samuel Etoo- Everton...Je??? Etoo kuwachachafya Chelsea ....Wakati Huo huo Straika wa Chelsea Diego Costa huenda Atakuwa nje ya Uwanja kwa Muda wa Wiki Nne 4.

Torres amua kuondoka Chelsea – Atua Rasmi Ac Millan

Fernando Torres amemaliza kipindi kigumu kabisa cha miaka mitatu na nusu kwenye maisha yake ndani ya klabu ya Chelsea baada ya kukubali kuondoka katika timu hiyo.

Ivory Coast kususia mechi Dhidi ya Sierra Lion AFCON


Shirikisho la soka la Ivory Coast limesema kuwa huenda likasusia mechi ya kufuzu kwa dimba la mabingwa barani Afrika dhidi ya wapinzani wao Sierra Leone ikihofia kuenea kwa Ebola.

Bayern yamsajili Kiungo Wa Real Madrid Xavi Alonso


Kiungo wa Uhispania Xabi Alonso ameafikiana mkataba wa miaka miwili na klabu ya ujerumani Bayern Munich .Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 32 amekubali kuondoka Real Madrid katika misimu mwili ijayo.