Social Icons

Saturday, 4 October 2014

EPL | Liverpool, Hull, Sunderland Ushindi Leo,Yaya,Aguero Waipa City Ushindi | Ratiba Ya Kesho Hapa


EPL,Bao za Mohamed Diame na Nikica Jelavic zimewapa ushindi Hull City walipocheza kwao na Crystal Palace naoMABINGWA Watetezi Manchester City wameshinda Bao 2-0 kwa Bao za Dakika za mwishoni walipocheza na Aston Villa huko Villa Park

Ligi Kuu Vodacom | Costal Pekee Yashangilia Ushindi Wengine Sare ,Simba Yajikongoja Droo 3 Mfululizo | Ratiba ya Kesho Hapa



Ligi kuu VODACOM imeendelea Leo hii na Mechi pekee iliyotoa mshindi ni ile ya kule Mkwakwani Jijini Tanga Coastal Union ilipoifunga Ndanda FC Bao 2-1.

Stephen Keshi kuendelea kuinoa Timu Ya Taifa Ya Nigeria


Stephen Keshi amesema kuwa ataendelea kukisimamia kikosi cha soka nchini Nigeria katika mechi ya kuwania taji la ubingwa barani Afrika dhidi ya Sudan licha ya kuwa hajasaini kandarasi mpya.

Muingereza mwengine akatwa kichwa na Kundi la Wanamgambo wa Islamic state

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning raia wa Uingereza akikatwa kichwa.

Kuhusu Mwanamke mmoja Sweden kujifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji


Mwanamke mmoja nchini Sweden amejifungua mtoto kutokana na kizazi alichowekewa kupitia upasuaji.Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 36 alizaliwa bila kizazi kabla ya kuwekewa kizazi cha mwanamke aliyekuwa katika miaka yake ya sitini.

Friday, 3 October 2014

Muendelezo wa ligi Mbalimbali barani ulaya Tazama hapa ratiba za Ligi Hiyo



Muendelezo wa ligi Mbalimbali unaendelea wikiendi hii katika viwanja vya ligi mbalimbali barani ulaya Tazama hapa ratiba za Ligi Hiyo

Viongozi Wa China Wasema Maandamano Ya Hong Kong Yataambulia Patupu

Viongozi wa Uchina wanasema kuwa maandamano ya kupigania haki ya kuimarisha demokrasia katika eneo la Hong Kong yataambulia patupu.Taariri yenye matamshi makali katika Gazeti la Kikomunisti ilikariri kuwa Serikali inaendelea kumuunga mkono Mkuu wa eneo la Hong Kong, CY Leung.

Hamisi Tambwe Guda Guda Kuivaa Stand United na Si Majeruhi Kama Ilivyoarifiwa Awali


Mshambuliaji wa kutumainiwa wa Timu ya Simba Hamisi Tambwe leo hasubuhi amefanya mazoezi kwa asilimia 100 na kuondoa uvumi uliokua umemuhusisha kukosa mechi ya kesho dhidi ya stand united

Messi matatani kwa kukwepa kodi Apelekwa Kizimbani ,,,Tazama Hapa

Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kodi,hii ni kwa mujibu wa jaji mmoja wa Uhispania.

Tazama Hapa Picha za programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9 Iliyozinduliwa na Kampuni ya Microsoft


Kampuni ya Microsoft imezindua programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9.Kampuni hiyo pia inatarajia wateja wake watarudi kwani wengi walikuwa wakisitasita kuboresha oparesheni zao tangu Windows 8.

Ndoa Yavunjika Kutokana na Tofauti za Kidini Nchini India..Story Kamili Ipo Hapa


Maafisa wa polisi katikati mwa India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu baada ya shinikizo kutoka kwa makundi ya kihindu yenye mrengo wa kulia.

DUNIANI | Tazama Picha ya Kiti Kinacho Punguza Upweke Hapa


Kuna wakati kila mmoja maishani pengine huhitaji kupata 'hug' (kukumbatiwa) ili kujisikia sio mpweke. Sasa kampuni moja nchini Japan imetengeneza kiti maalum ambacho kitakuwa tayari wakati wowote kumkumbatia na kumliwaza mtumiaji.

Thursday, 2 October 2014

Maajabu ya Dunia | Tazama hapa Sokwe wabunifu Waanzisha Tabia Mpya Mwituni


Watafiti wamegundua kifaa kipya kinachotumiwa na idadi kubwa ya Sokwe ,Wanasema kuwa kifaa hicho ni ishara tosha kwamba Sokwe wa mwituni wameanzisha tabia mpya.

Kiongozi Wa Boko Haram Atoa Tamko na Akana Kufa Asema 'Sijafa' | Story Yote Hapa



Kanda ya video inayomuonyesha mtu anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi la Boko Haram imetolewa akikana madai ya jeshi kwamba amefariki.Katika kanda hiyo,Abubakr Shekau anasema kuwa wapiganaji wake waliitungua ndege ya wanajeshi wa angani iliotoweka wiki tatu zilizopita.

UEFA | Wenger: Welbeck ana kasi ya umeme | Tazama hapa Video ya jinsi alivyofunga magoli 3 Kama hukuona


Mkufunzi wa kilabu ya Arsenal nchini Uingereza Arsene Wenger amemtaja mshambuliaji wake Danny Welbeck kama mchezaji mwenye kasi ya 'umeme' baada ya kuifungia timu ya Arsenal mabao matatu siku ya jumatano katika mechi ya kilabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Galatasaray.