Social Icons

Saturday 4 October 2014

Ligi Kuu Vodacom | Costal Pekee Yashangilia Ushindi Wengine Sare ,Simba Yajikongoja Droo 3 Mfululizo | Ratiba ya Kesho Hapa



Ligi kuu VODACOM imeendelea Leo hii na Mechi pekee iliyotoa mshindi ni ile ya kule Mkwakwani Jijini Tanga Coastal Union ilipoifunga Ndanda FC Bao 2-1.



Jijini Dar es Salaam, Simba wameendelea kwa Sare katika Mechi zao zote 3 tangu Ligi ianze baada Leo kubanwa 1-1 na Timu mpya iliyopanda Daraja Msimu huu, Stand United ya Shinyanga.


Huko Uwanja wa Sokoine, Mbeya, Azam FC, Mabingwa Watetezi, walitoka Sare 0-0 na Prisons.
Mechi pekee iliyotoa mshindi hii Leo ni huko Mkwakwani Jijini Tanga wakat Coastal Union ilipoichapa Ndanda FC Bao 2-1.

Jumapili, Mtibwa Sugar iko kwao Manungu kucheza ma Mgambo JKT na wana nafasi ya kutwaa uongozi wa Ligi wakishinda.

Mechi ya Pili kesho Jumapili ni Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam wakati Yanga watacheza na JKT Ruvu.

Jumamosi Oktoba 4
Polisi Moro 1 Kagera Sugar 1
Coastal Union 2 Ndanda FC 1
Simba 1 Stand United 1
Prisons 0 Azam FC 0
Ruvu Shootings 0 Mbeya City 0

RATIBA:
Jumapili Oktoba 5
Yanga v JKT Ruvu
Mtibwa Sugar v Mgambo JKT

MSIMAMO
NA
TIMU
P
W
D
L
F
A
GD
PTS
1
Azam FC
3
2
1
0
5
1
4
7
2
Mtibwa Sugar
2
2
0
0
5
1
4
6
3
Mbeya City
3
1
2
0
1
0
1
5
4
Tanzania Prisons
3
1
1
1
3
2
1
4
5
Kagera Sugar
3
1
1
1
3
2
1
4
6
Coastal Union
3
1
1
1
4
4
0
4
7
Stand United
3
1
1
1
3
5
-2
4
8
Ndanda FC
3
1
0
2
6
6
0
3
9
Simba
3
0
3
0
4
4
0
3
10
Mgambo JKT
2
1
0
1
1
1
0
3
11
Yanga
2
1
0
1
2
3
-1
3
12
Polisi Moro
3
1
1
1
3
5
-2
2
13
JKT Ruvu
2
0
1
1
0
2
-2
1
14
Ruvu Shooting
3
0
1
2
0
4
-4
1

No comments:

Post a Comment