Social Icons

Wednesday, 8 July 2015

New Music: Barakah Da Prince & Ruby – Nivumilie


Huu ni wimbo mpya wa msanii Baraka Da Prince na Ruby uitwao ‘Nivumilie.’ Wimbo umetayarishwa na watayarishaji watatu, Nusder/Lollipop/Kidboy na umeandikwa na Lollipop.

Sterling Agomea Ziara Ya Liverpool Ya Mashariki Ya Mbali


Sasa Raheem Sterling amemwonyesha Brendan Rodgers wazi wazi nia yake ni kulazimisha Uhamisho kwenda Manchester City baada kumtaka Meneja huyo kumwacha kwenye Ziara ya Liverpool ya huko Mashariki ya Mbali na Australia.

Tanzanite Kuvaana na She - Polopolo Uwanja Wa Azam Complex


Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 20 (Tanzanite) itashuka dimbani siku ya jumamosi katika uwanja wa Azam Complex kucheza na timu ya U20 ya Zambia (The Young She-polopolo) katika mchezo wa kwanza kuwania kufuzu kwa fainali za U-20 za Dunia mwaka 2016.

Tuesday, 7 July 2015

Yanga Kidume Sakata La Mwashiuya, Kimondo Yakubali Yaishe


Hatimae muvi ya Kimondo na Yanga imefika mwisho baada ya katibu wa Yanga Jonas Tiboroha kufunga safari na kwenda  viunga vya Mbozi kumalizana na Kimondo Sc.

Diamond: Sijawahi kumlipa wala yeye kunilipa kufanya collabo

Diamond Platnumz amesema kuwa ameshafanya collabo na wasanii A-list karibu wote wanaofanya vizuri Afrika, lakini hakuna hata mmoja ambaye amewahi kumlipa wala wao kumlipa kwaajili ya collabo hizo.

Mayweather apokonywa mkanda wa WBO alioshinda kwenye pambano lake na Pacquiao


Floyd Mayweather amepokonywa mkanda wa WBO alioshinda kwenye pambano lake na Manny Pacquiao mwezi May.
Bondia huyo alishindwa kulipa gharama za kutambuliwa kwa pambano hilo (sanctioning fee) ambayo ni dola $200,000 ambapo mwisho wa kulipa ilikuwa ni July 3.

Hiki Ndicho Kilicho Amria Na TFF Katika Sakata la Singano (messi) Dhidi Ya Simba


Shirikisho la soka nchini TFF limevunja rasmi mkataba wa Ramadhan Singano “Messi’ na klabu yake ya Simba baada ya Wekundu hao wa Msimbazi kushindwa kuwasilisha vielelezo mbele ya kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji.

Monday, 6 July 2015

Memphis Depay Akabidhiwa Jezi Yenye Gundu Manchester United


MSHAMBULIAJI Memphis Depay amejiunga na wachezaji wenzake wa Manchester United kwa mara yaa kwanza tangu asajiliwe kwa Pauni Milioni 25 kutoka PSV.

Thursday, 11 December 2014

Diamond kashinda Channel O, Idris BBA, huyu mwingine kaipa Tanzania headlines hizi nzuri saa kadhaa zilizopita.


Jana December 10 2014 Watanzania walimpokea kwa shangwe mwakilishi wao kwenye BBAHotshots Afrika Kusini, Idris ambae ndie alitangazwa mshindi wa dola za kimarekani laki tatu siku kadhaa tu baada ya Diamond kuing’arisha Tanzania kwa kushinda tuzo 3 za Channel O.

Tazama jinsi Nyota wa NBA LeBron James avunja kanuni za kifalme


Mchezaji wa mpira wa vikapu LeBron James alivunja protokali au kuvunja kanuni za maadili ya kifalme alipomshika mabegani Kate Middleton akiwa na majasho kwenye jezi lake huku mumewe Kate, Prince William akifanya mzaha kuhusu ukubwa wa mguu wa mchezaji huyo huku wote wakiangua kicheko.

Monday, 6 October 2014

Arsene Wenger Diego Costa ni mshambuliaji hatari


Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa Diego Costa ni mshambuliaji hatari
na kwamba mshambuliaji huyo wa Chelsea ni tishio

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Aachia Madaraka Tayari Kutua ICC

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko radhi kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili.

Sunday, 5 October 2014

Sirea A | Juventus Yaendeleza Ubabe Yainyuka 3-2 AS Roma ..Tazama hapa Matokeo Mechi Zote


Mabingwa wa Italy Juventus, wakicheza kwao Juventus Stadium Jijini Turin, Usiku huu wamewabwaga AS Roma ambao walikuwa wamefungana nao kileleni mwa Ligi Serie A Bao 3-2 na kupaa zaidi kileleni.

VPL | Yanga yapanda Hadi nafasi ya 3 Ligi kuu England,Yanyakua point 3 Kutoka kwa Jkt Ruvu


Hii Leo, huko Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam, Yanga wameichapa JKT Ruvu Bao 2-1 na kukwea hadi Nafasi ya 3 ya Ligi Kuu Vodacom Yanga walifunga Bao lao la kwanza Dakika ya 32 kupitia Kelvin Yondani na Bao hilo kudumu hadi Haftaimu.

Vita ya Wenger v Morinho Yamalizika kwa Arsenal Kupigwa Goli 2-1 Yashuka hadi nafasi ya 6,Waziri Mkuu Costa Afanya Kweli


Chelsea wameendelea kujichimbia kileleni mwa Ligi Kuu England walipoichapa Arsenal Bao 2-0 huko Stamford Bridge hii Leo.