Social Icons

Sunday, 22 June 2014

Dakika 90 za Mchezo Kati ya Ghana Na Ujerumani Tazama Hapa Magoli


Miroslav Klose aliinusuru Germany kipigo na pia kufikisha Rekodi ya Ronaldo ya Bao 15 za Magoli kwemyeFainali za Kombe la Dunia baada Jana kuisawazishia huko Estadio Castelao, Jijini Fortaleza Nchini Brazil na kutoka Sare 2-2 na Ghana kwenye Mechi ya Kundi G.

Saturday, 21 June 2014

Kwa Wale Mashabiki wa Move Za RAMBO Tazama Hapa Expendables 3 - Trailer


Tazama Hapa The  Expendables 3 -  Trailer Move ya Sylvester Stallone portraying John Rambo.

Hali Bado ni Tete Huko Nigeria, shambulio jingine limetokea Karibu na kijiji Walichotekwa Wasichana

Ripoti zinasema kuwa shambulio jengine limetokea katika kijiji kimoja cha kaskazini-mashariki mwa Nigeria, karibu na pahala ambapo wasichana wa shule zaidi ya mia-mbili walitekwa nyara.

Habari Kuhusu Kuuwawa Kwa Mwandishi wa Habari Huko Mogadishu Kwenye Mlipuko wa Bomu


Mwandishi wa habari kijana wa Somalia ameuwawa kwenye mripuko wa bomu lilotegwa chini ya gari lake mjini Mogadishu.Yusuf Keynan alikufa wakati bomu hilo liliporipuka alipotia moto gari, akitaka kuelekea kazini.

Dakika 90 za Mchezo Kati ya Argentina Dhidi Ya Iran .Messi Athibitisha Kuwa Yeye Ni Bora Duniani Tazama Goli Alilofunga


Lionel Messi Leo amefunga Bao katika Dakika ya 91 na kuipa Argentina ushindi wa Bao 1-0 kwenye Mechi ya Kundi F la Fainali za Kombe la Dunia iliyochezwa Estadio Mineirão Mjini Belo Horizonte Nchini Brazil.

Unaambiwa Hii Ndio First 11 ya Timu Ya Wasanii wa Hip Hop Wa Marekani World Cup


Mtandao mmoja wa SB Nation umeamua kutengeneza kikosi cha Dunia Cha wanamuziki wa Hip Hop nchini marekani chenye wasanii 11 kama Timu ya Mpira wa Miguu na Kupanga kikosi hicho kulingana na uwezo wa kila mmoja

Hii ni Kwaajili Yako Mtu Wangu | LINAH Feat DiAMOND | KIZAIZA I Remix



Unafikiriaje Endapo Ukasikia Korabo ya Wakali wawili Wa sauti Bongo Kati ya Diamond na Linnah Sinasha Jibu nikuwa Ngoma Hiyo Itakuwa ni Hatari Mno .Sasa Kama Hukupata Muda Kusikiliza Remix ya Kizaizai ya Linnah aliyompa shavu Ngororo Master Diamond Platnumz Sikiliza na Danload Hapa Mzigo upo Powa.

Taarifa Juu ya Kuwasili kwa Kocha Mpya Wa Yanga Marcio Maximo Ipo hapa


Maandalizi ya msimu wa ligi kuu ya Tanzania yameanza kupamba moto huku vilabu vikijaribu kujiimarisha tayari kwa mapambano, kwa upande wa klabu ya Yanga wameanza kwa kuimarisha benchi la ufundi kwa kumuajiri kocha Marcio Maximo.

BREAKING NEWS | Ajali Mbaya Watu Sita Wafariki Dunia Katika Ajali Iliyohusisha Magari Manne Jijini Dar Es Salaam


Habari Kutoka Radio One Sterio na ITV zinasema Kuwa Watu 6 Wamefariki Dunia na wengine Kumi na Mbili KujeruhiwaKatika Ajali Iliyohusisha Magari Manne Katika Eneo la Makongo Jijini Dar Es Salaam .

Hali Yazidi Kuwa Tete Iraq Wanamgambo Wahimizwa Kujitolea Katika Mapigano Dhidi ya Kisunni

 
Maelfu ya wanamgambo wa Kishia waliobeba silaha, wamefanya mhadhara mjini Baghdad na miji mengine ya Iraq ili kuonesha nguvu zao dhidi ya wapiganaji wa Kisunni ambao wameteka maeneo makubwa kaskazini mwa Iraq.

BREAKING NEWS | Louis van Gaal,Amtia Kitanzini Antonio Valencia,Ni Wakwanza Kusaini Mkataba Mpya Chini Ya Meneja Huyo


Winger Wa Manchester United Antonio Valencia ameongeza mkataba wake uliobaki wa mwaka mmoja na kufanya kuwa mchezaji wa kwanza kuongeza mkataba klabuni hapo Tangu kuingia utawala wa manager mpya Louis van Gaal,

Taarifa Juu ya Kiongozi wa Muslim Brotherhood kunyongwa Ipo Hapa


Wakili mmoja nchini Misri amesema kwamba mahakama imezingatia hukumu ya kifo cha wanachama 182 wa kundi la Muslim Brotherhood .Washtakiwa hao ni miongoni mwa watu 700 wanaoshtakiwa kwa kukishambulia kituo kimoja cha polisi katika eneo la Minya mwaka uliopita.

NEW VIDEO | G- Unit | Nah I'm Talking Bout Official


Tazama Hapa Video ya Wimbo Mpya wa Kundi La Music la Marekani G-Unit Wimbo unaoitwa G- Nah I'm Talking Bout ..Ambao umewafanya waonekane wamerudi Vyema katika game ya Music.

Huko Brazili Leo Argentina Kukutana na Wataalamu wa Nyuklia,Ghana Kuvaana na Wajerumani,Nigeria v Bosnia-Herzegovina Tazama Hapa Hali Za Vikosi


Ghana Leo huko Brazil wanaingia kwenye Mechi yao ya Pili ya Kundi G la Fainali za Kombe la Dunia kucheza na Germany.Kwenye Mechi ya Kwanza,

Karim Kharbouch ni Mkali Anayetisha kwa Kuitwa kwenyekorabo nyingi Msimu Huu na Wasanii Wakubwa Marekani


Karim Kharbouch Amezaliwa November 9, 1984, Lakini anajulikana sana kwa jina lake la stejinikama  French Montana, Ni rapper muamerican Ambaye amezaliwa nchini Morocco.