Social Icons

Saturday 21 June 2014

BREAKING NEWS | Ajali Mbaya Watu Sita Wafariki Dunia Katika Ajali Iliyohusisha Magari Manne Jijini Dar Es Salaam


Habari Kutoka Radio One Sterio na ITV zinasema Kuwa Watu 6 Wamefariki Dunia na wengine Kumi na Mbili KujeruhiwaKatika Ajali Iliyohusisha Magari Manne Katika Eneo la Makongo Jijini Dar Es Salaam .



Chanzo Cha Ajari ni Baada ya Gari Toyota Coaster Daladala Inayofanya Safari Zake za Tegeta Ubungo Kuacha njia Na kuvuka Ukingo wa Barabara na Kisha  Kugona Magari Mengine ..Habari Hii Imethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Kinondoni Camilius Wambura, Na Miili ya Marehemu hao imeifadhiwa katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo na Majeruhi wamelazwa hapo kwa Matibabu zaidi....Hizi ni Taarifa za awali nyingine zitakuja endelea Kufuatilia mtandao huu


IMG_9044





IMG_9045

IMG_9043

IMG_9042


IMG_9041

1

2


3

Mpaka sasa idadi kamili ya vifo vilivyotokana na ajali hii haijatangazwa ingawa baada ya ajali vifo viliyotajwa ni vya watu 6 ambapo ajali hii imehusisha magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria 

Source ; Radio one na ITV Breaking news

No comments:

Post a Comment