Social Icons

Monday 18 January 2016

Baada Ya Mechi Za Jana Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Huu Ndio Msimamo wa VPL


Michezo mingi imepigwa weekend hii kwenye ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara na kushuhudia matokeo tofauti tofauti kwenye ligi hiyo huku msimamo wa ligi hiyo ukibadilika na kuongeza presha kwa timu zinazowania ubingwa pamoja na zile za chini zinapambana kuhakikisha hazishuki daraja.

 Matokeo ya michezo yote ya michezo ya ligi kuu iliyochezwa weekend hii kwenye viwanja vya miji tofauti ya Tanzania bara yapo kama ifuatavyo.

Yanga 1-0 Ndanda FC
JKT Ruvu 1-5 Mgambo JKT 
Simba 1-0 Mtibwa Sugar
Azam 1-1 African Sports
Toto Africans 0-1 Tanzania Prisons 
Stand United 1-0 Kagera Sugar 
Mbeya City 1-0 Mwadui FC 
Coastal Union 1-1 Maji Maji FC

Baada ya mechi zote za VPL zilizopigwa mwishoni mwa juma lililopita huu ndiyo msimamo mpya wa ligi hiyo ikiwa tayari timu zote zimecheza michezo 14 hadi sasa.

Msimamo-vpl

No comments:

Post a Comment