LA LIGA Leo hii ilishuhudia Mabingwa Watetezi Atletico Madrid wakipigwa Bao 3-1 na Vinara wa Ligi, FC Barcelona, wakishinda Bao 2-0.Atletico, wakicheza Ugenini, walichapwa na Valencia Bao 3-1 na Wenyeji hao kupata Bao zao zote 3 ndani ya Dakika 13 za kwanza kwa Bao za Joao Miranda, aliejifunga mwenyewe Dakika ya 6, Andre Gomes Dakika ya 7 na lile la Dakika ya 13 la Nicolas Otamendi.