Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limesikitishwa
na hatua ya kutekwa nyara kwa zaidi ya wasichana 200 wa shule nchini
Nigeria na kundi la wanamgambo wa kiislamu la boko haram.Baraza hilo pia limeshtumu mashambulizi ya hivi
karibuni ya kundi hilo,huku likitaka wale wanaotekeleza vitendo kama
hivyo kukamatwa mbali na kuwekewa vikwazoWataalam wa Marekani,Saturday, 10 May 2014
Umoja wa Mataifa wakasirishwa na utekaji nyara Nigeria
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limesikitishwa
na hatua ya kutekwa nyara kwa zaidi ya wasichana 200 wa shule nchini
Nigeria na kundi la wanamgambo wa kiislamu la boko haram.Baraza hilo pia limeshtumu mashambulizi ya hivi
karibuni ya kundi hilo,huku likitaka wale wanaotekeleza vitendo kama
hivyo kukamatwa mbali na kuwekewa vikwazoWataalam wa Marekani,
Labels:
AddyTz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment